Ngonjera: Hakuna Anayejali

Kalamu Ya Urithi


Hakuna anayejali


Siku yetu ni moja, jua letu ni moja

na hata ardhi ni moja…..

Wote tunazaliwa na tunakufa pia…..

Lakini jiulize je, ni kwanini tutofautiane katika kuyaishi maisha…..

Kwanini wengine waishi maisha ya ndoto zao  na wengine wasiyaishi…

Wapo waliobahatika kuwa na furaha……

Wao huishi vile wanataka

Kuanzia kula… kuvaaa.. kulala.

.na hata kunywa…

Furaha na  raha ni sehemu ya maisha yao.

 

Nani wakujali maisha anayoishi mtu huyu…

mtu ambaye anasifa za kufika mahali fulani lakini hana refa wala sapport ya kumfanya afikie ndoto zake…

Umasikini umeleta matabaka

kiasi kwamba hata wanaouishi hawapendani… hawana umoja…….

Wanaolewa hovyo…. Ni masikini…

Wanaologana … ni masikini….

Wanaosengenyanya ni masikina

Wanaofanyiana hila na choyo ni masikini

Hivi kwa nini?


Maoni

Mashairi Pendwa Zaidi

Ushairi : Maumivu

Shairi: Kipenzi changu

Shairi: Moyo Wa Subira