Ushairi : Unakumbuka ?
Unakumbuka?
Unakumbuka eee…..
Kipindi kile
unadate nae…..
Unakumbuka
eee…
Kipindi kile
umeziteka hisia zake…
Ukamfanya
apoteze hamu ya kula kisa wewe…
Usingizi
asiupate kisa wewe….
Unakumbuka
lakini...
Kipindi kile
mwenzio alipoyatoa maisha yake kwa ajili yako….
yeye
alipojinyima ili wewe upate…
Unakumbuka…..
Lakini leo
hauko naye tena…..
Nikukumbushe
kitu….
Unakumbuka
kipindi kile mlipokuwa mkitoka out
Mkienda
garden
Mara
ufukweni….
Mkiwa
barabarani..
mlifurahi na kucheka sana….
Mlifikia
hatua mkawa kama machizi vile machoni mwa watu.
Ila
mlipendeza sana.
Unazikumbuka
kweli hizo moment…..
Masikini….
leo hauko naye tena.
Mhhh
aaaaaaa…….
Hivi
unakumbuka kipindi kile mnachati usiku kucha ….
eeee ….. eti
mnaongea na simu masaa 10 mhhh….
Mara
utasikia kata weweeee bhanaaa
Mhh mhhm
takiii kata wewe….
Ka watoto
vile
Ha ha ha ha
ha ha ha
Aiseee…
Vp
unakumbuka kweli hizo moment…….
Mhhhh pol…e
naona leo hauko naye tena mtu huyo.
Nani kama
yeye…
Alokupa
penzi kiasi cha kuchanganyikiwa huku mkiahidiana mengi…
Lakini leo
hauko nae tena….
Naona kuna
wakati unatamani ukutane naye….
Lakini ndo
haiwezekani tena……
Mhhhh au
yupo kwenye ndoa yake….?
Lakini hata
kama atakuwa single
Bado
hataweza kurudiana na wewe…
Unajuwa kwa
nini……
Kumbuka
vizuriii….
Mhh
unakumbuka vizuri…
Maskini….
Zile moment
ulipokuwa ukimsubilisha nje akipigwa na baridi kali na husitokee….
Zile moment
ulipokuwa ukimchatisha huku ukifanya ufuska.
Umesahau….
Zile moment…
alipokufuma na danga mkipeana vitu….
usitake
kuniambia eti umesahau kila kitu.
Hata kipindi
kile uliposahaui viatu
baada ya
kukimbizwa na watu
ukitumia
mali ya mtu
hukumbuki
tu….
Aaa basi
wewe mkorofi ….
Lakini pouwa
so kesi….
Kiburi
Dharau
Masimango…
Na hata
ukazidisha uongo…
Lakini
hatimaye leo hauko nae tena.
Naelewa
utakuwa umemiss sana zile moment….
Ukicheza na
kuimba mbele yake…..
Tena kwa
furaha na shangwe
Daaa aisee
pole sana…
Najuwa kwa
sasa atakuwa na wake ampendae….
Vp wewe
mahusiano yako kwa sasa.
Je,
yameimarika…
Au ndo kwanza unaangaika na kujenga ukuta.
Hahahaha……..
Pole sana…..
mnakuwa
wazuri katika kuwaumiza wengine
mnasahau
kuwa maumivu ni yale yale
Na ikitokea
mmeumizwa mnajitia kuumia sana.
Hivi
mnajikuta kina nani nyie….
Ukizitaka
raha kwa kumsababishia karaha kwa aliye
na furaha
Basi nawe
tarajia jeraha
Kwa maana
tamaa ni
sawa na donda lilotunga usaha
hivyo chunga usilete mzaha
likaja kukuletea balaa
Na Kilimboka
Unakumbuka?
Unakumbuka
eee…..
Kipindi kile
unadate nae…..
Unakumbuka
eee…
Kipindi kile
umeziteka hisia zake…
Ukamfanya
apoteze hamu ya kula kisa wewe…
Usingizi
asiupate kisa wewe….
Unakumbuka
lakini…..
Kipindi kile
mwenzio alipoyatoa maisha yake kwa ajili yako….
yeye
alipojinyima ili wewe upate…
Unakumbuka…..
Lakini leo
hauko naye tena…..
Nikukumbushe
kitu….
Unakumbuka
kipindi kile mlipokuwa mkitoka out
Mkienda
garden
Mara
ufukweni….
Mkiwa
barabarani..
mlifurahi na kucheka sana….
Mlifikia
hatua mkawa kama machizi vile machoni mwa watu.
Ila
mlipendeza sana.
Unazikumbuka
kweli hizo moment…..
Masikini….
leo hauko naye tena.
Mhhh
aaaaaaa…….
Hivi
unakumbuka kipindi kile mnachati usiku kucha ….
eeee ….. eti
mnaongea na simu masaa 10 mhhh….
Mara
utasikia kata weweeee bhanaaa
Mhh mhhm
takiii kata wewe….
Ka watoto
vile
Ha ha ha ha
ha ha ha
Aiseee…
Vp
unakumbuka kweli hizo moment…….
Mhhhh pol…e
naona leo hauko naye tena mtu huyo.
Nani kama
yeye…
Alokupa
penzi kiasi cha kuchanganyikiwa huku mkiahidiana mengi…
Lakini leo
hauko nae tena….
Naona kuna
wakati unatamani ukutane naye….
Lakini ndo
haiwezekani tena……
Mhhhh au
yupo kwenye ndoa yake….?
Lakini hata
kama atakuwa single
Bado
hataweza kurudiana na wewe…
Unajuwa kwa
nini……
Kumbuka
vizuriii….
Mhh
unakumbuka vizuri…
Maskini….
Zile moment
ulipokuwa ukimsubilisha nje akipigwa na baridi kali na husitokee….
Zile moment
ulipokuwa ukimchatisha huku ukifanya ufuska.
Umesahau….
Zile moment…
alipokufuma na danga mkipeana vitu….
usitake
kuniambia eti umesahau kila kitu.
Hata kipindi
kile uliposahaui viatu
baada ya
kukimbizwa na watu
ukitumia
mali ya mtu
hukumbuki
tu….
Aaa basi
wewe mkorofi ….
Lakini pouwa
so kesi….
Kiburi
Dharau
Masimango…
Na hata
ukazidisha uongo…
Lakini
hatimaye leo hauko nae tena.
Naelewa
utakuwa umemiss sana zile moment….
Ukicheza na
kuimba mbele yake…..
Tena kwa
furaha na shangwe
Daaa aisee
pole sana…
Najuwa kwa
sasa atakuwa na wake ampendae….
Vp wewe
mahusiano yako kwa sasa.
Je,
yameimarika…
Au ndo kwanza unaangaika na kujenga ukuta.
Hahahaha……..
Pole sana…..
mnakuwa
wazuri katika kuwaumiza wengine
mnasahau
kuwa maumivu ni yale yale
Na ikitokea
mmeumizwa mnajitia kuumia sana.
Hivi
mnajikuta kina nani nyie….
Ukizitaka
raha kwa kumsababishia karaha kwa aliye
na furaha
Basi nawe
tarajia jeraha
Kwa maana
Unakumbuka?
Unakumbuka
eee…..
Kipindi kile
unadate nae…..
Unakumbuka
eee…
Kipindi kile
umeziteka hisia zake…
Ukamfanya
apoteze hamu ya kula kisa wewe…
Usingizi
asiupate kisa wewe….
Unakumbuka
lakini…..
Kipindi kile
mwenzio alipoyatoa maisha yake kwa ajili yako….
yeye
alipojinyima ili wewe upate…
Unakumbuka…..
Lakini leo
hauko naye tena…..
Nikukumbushe
kitu….
Unakumbuka
kipindi kile mlipokuwa mkitoka out
Mkienda
garden
Mara
ufukweni….
Mkiwa
barabarani..
mlifurahi na kucheka sana….
Mlifikia
hatua mkawa kama machizi vile machoni mwa watu.
Ila
mlipendeza sana.
Unazikumbuka
kweli hizo moment…..
Masikini….
leo hauko naye tena.
Mhhh
aaaaaaa…….
Hivi
unakumbuka kipindi kile mnachati usiku kucha ….
eeee ….. eti
mnaongea na simu masaa 10 mhhh….
Mara
utasikia kata weweeee bhanaaa
Mhh mhhm
takiii kata wewe….
Ka watoto
vile
Ha ha ha ha
ha ha ha
Aiseee…
Vp
unakumbuka kweli hizo moment…….
Mhhhh pol…e
naona leo hauko naye tena mtu huyo.
Nani kama
yeye…
Alokupa
penzi kiasi cha kuchanganyikiwa huku mkiahidiana mengi…
Lakini leo
hauko nae tena….
Naona kuna
wakati unatamani ukutane naye….
Lakini ndo
haiwezekani tena……
Mhhhh au
yupo kwenye ndoa yake….?
Lakini hata
kama atakuwa single
Bado
hataweza kurudiana na wewe…
Unajuwa kwa
nini……
Kumbuka
vizuriii….
Mhh
unakumbuka vizuri…
Maskini….
Zile moment
ulipokuwa ukimsubilisha nje akipigwa na baridi kali na husitokee….
Zile moment
ulipokuwa ukimchatisha huku ukifanya ufuska.
Umesahau….
Zile moment…
alipokufuma na danga mkipeana vitu….
usitake
kuniambia eti umesahau kila kitu.
Hata kipindi
kile uliposahaui viatu
baada ya
kukimbizwa na watu
ukitumia
mali ya mtu
hukumbuki
tu….
Aaa basi
wewe mkorofi ….
Lakini pouwa
so kesi….
Kiburi
Dharau
Masimango…
Na hata
ukazidisha uongo…
Lakini
hatimaye leo hauko nae tena.
Naelewa
utakuwa umemiss sana zile moment….
Ukicheza na
kuimba mbele yake…..
Tena kwa
furaha na shangwe
Daaa aisee
pole sana…
Najuwa kwa
sasa atakuwa na wake ampendae….
Vp wewe
mahusiano yako kwa sasa.
Je,
yameimarika…
Au ndo kwanza unaangaika na kujenga ukuta.
Hahahaha……..
Pole sana…..
mnakuwa
wazuri katika kuwaumiza wengine
mnasahau
kuwa maumivu ni yale yale
Na ikitokea
mmeumizwa mnajitia kuumia sana.
Hivi
mnajikuta kina nani nyie….
Ukizitaka
raha kwa kumsababishia karaha kwa aliye
na furaha
Basi nawe
tarajia jeraha
Kwa maana
tamaa ni
sawa na donda lilotunga usaha
hivyo chunga usilete mzaha
likaja kukuletea balaa
Maoni