Ushairi : Unakumbuka ?

Kalamu Ya Urithi


Unakumbuka?


Unakumbuka eee…..

Kipindi kile unadate nae…..

Unakumbuka eee…

Kipindi kile umeziteka hisia zake…

Ukamfanya apoteze hamu ya kula kisa wewe…

Usingizi asiupate kisa wewe….

Unakumbuka lakini...


Kipindi kile mwenzio alipoyatoa maisha yake kwa ajili yako….

yeye alipojinyima ili wewe upate…

Unakumbuka…..

Lakini leo hauko naye tena…..

 

Nikukumbushe kitu….

Unakumbuka kipindi kile mlipokuwa mkitoka out

Mkienda garden

Mara ufukweni….

Mkiwa barabarani..

 mlifurahi na kucheka sana….

 

Mlifikia hatua mkawa kama machizi vile machoni mwa watu.

Ila mlipendeza sana.

Unazikumbuka kweli hizo moment…..

Masikini….

 leo hauko naye tena.

Mhhh aaaaaaa…….

 

Hivi unakumbuka kipindi kile mnachati usiku kucha ….

eeee ….. eti mnaongea na simu masaa 10 mhhh….

Mara utasikia kata weweeee bhanaaa

Mhh mhhm takiii kata wewe….

Ka watoto vile

Ha ha ha ha ha ha ha

Aiseee…

Vp unakumbuka kweli hizo moment…….


Mhhhh pol…e naona leo hauko naye tena mtu huyo.

Nani kama yeye…

Alokupa penzi kiasi cha kuchanganyikiwa huku mkiahidiana mengi…

Lakini leo hauko nae tena….


Naona kuna wakati unatamani ukutane naye….

Lakini ndo haiwezekani tena……

Mhhhh au yupo kwenye ndoa yake….?

Lakini hata kama atakuwa single

Bado hataweza kurudiana na wewe…


Unajuwa kwa nini……

Kumbuka vizuriii….

Mhh unakumbuka vizuri…

 

Maskini….

Zile moment ulipokuwa ukimsubilisha nje akipigwa na baridi kali na husitokee….

Zile moment ulipokuwa ukimchatisha huku ukifanya ufuska.

Umesahau….


Zile moment… alipokufuma na danga mkipeana vitu….

usitake kuniambia eti umesahau kila kitu.

Hata kipindi kile uliposahaui viatu

baada ya kukimbizwa na watu

ukitumia mali ya mtu

hukumbuki tu….

Aaa basi wewe mkorofi ….

Lakini pouwa so kesi….

 

Kiburi

Dharau

Masimango…

Na hata ukazidisha uongo…

Lakini hatimaye leo hauko nae tena.

Naelewa utakuwa umemiss sana zile moment….

 

Ukicheza na kuimba mbele yake…..

Tena kwa furaha na shangwe

Daaa aisee pole sana…

Najuwa kwa sasa atakuwa na wake ampendae….

Vp wewe mahusiano yako kwa sasa.

Je, yameimarika…

 Au ndo kwanza unaangaika na kujenga ukuta.

Hahahaha……..

Pole sana…..


mnakuwa wazuri katika kuwaumiza wengine

mnasahau kuwa maumivu ni yale yale

Na ikitokea mmeumizwa  mnajitia kuumia sana.

Hivi mnajikuta kina nani nyie….


Ukizitaka raha kwa  kumsababishia karaha kwa aliye na furaha

Basi nawe tarajia jeraha

Kwa maana

tamaa ni sawa na donda lilotunga usaha

 hivyo chunga usilete mzaha

  likaja kukuletea balaa


Na Kilimboka

Unakumbuka?

 

Unakumbuka eee…..

Kipindi kile unadate nae…..

Unakumbuka eee…

Kipindi kile umeziteka hisia zake…

Ukamfanya apoteze hamu ya kula kisa wewe…

Usingizi asiupate kisa wewe….

Unakumbuka lakini…..

Kipindi kile mwenzio alipoyatoa maisha yake kwa ajili yako….

yeye alipojinyima ili wewe upate…

Unakumbuka…..

Lakini leo hauko naye tena…..

 

Nikukumbushe kitu….

Unakumbuka kipindi kile mlipokuwa mkitoka out

Mkienda garden

Mara ufukweni….

Mkiwa barabarani..

 mlifurahi na kucheka sana….

 

Mlifikia hatua mkawa kama machizi vile machoni mwa watu.

Ila mlipendeza sana.

Unazikumbuka kweli hizo moment…..

Masikini….

 leo hauko naye tena.

Mhhh aaaaaaa…….

 

Hivi unakumbuka kipindi kile mnachati usiku kucha ….

eeee ….. eti mnaongea na simu masaa 10 mhhh….

Mara utasikia kata weweeee bhanaaa

Mhh mhhm takiii kata wewe….

Ka watoto vile

Ha ha ha ha ha ha ha

Aiseee…

Vp unakumbuka kweli hizo moment…….

Mhhhh pol…e naona leo hauko naye tena mtu huyo.

Nani kama yeye…

Alokupa penzi kiasi cha kuchanganyikiwa huku mkiahidiana mengi…

Lakini leo hauko nae tena….

Naona kuna wakati unatamani ukutane naye….

Lakini ndo haiwezekani tena……

Mhhhh au yupo kwenye ndoa yake….?

Lakini hata kama atakuwa single

Bado hataweza kurudiana na wewe…

Unajuwa kwa nini……

Kumbuka vizuriii….

Mhh unakumbuka vizuri…

 

Maskini….

Zile moment ulipokuwa ukimsubilisha nje akipigwa na baridi kali na husitokee….

Zile moment ulipokuwa ukimchatisha huku ukifanya ufuska.

Umesahau….

Zile moment… alipokufuma na danga mkipeana vitu….

usitake kuniambia eti umesahau kila kitu.

Hata kipindi kile uliposahaui viatu

baada ya kukimbizwa na watu

ukitumia mali ya mtu

hukumbuki tu….

Aaa basi wewe mkorofi ….

Lakini pouwa so kesi….

 

Kiburi

Dharau

Masimango…

Na hata ukazidisha uongo…

Lakini hatimaye leo hauko nae tena.

Naelewa utakuwa umemiss sana zile moment….

 

Ukicheza na kuimba mbele yake…..

Tena kwa furaha na shangwe

Daaa aisee pole sana…

Najuwa kwa sasa atakuwa na wake ampendae….

Vp wewe mahusiano yako kwa sasa.

Je, yameimarika…

 Au ndo kwanza unaangaika na kujenga ukuta.

Hahahaha……..

Pole sana…..

mnakuwa wazuri katika kuwaumiza wengine

mnasahau kuwa maumivu ni yale yale

Na ikitokea mmeumizwa  mnajitia kuumia sana.

Hivi mnajikuta kina nani nyie….

Ukizitaka raha kwa  kumsababishia karaha kwa aliye na furaha

Basi nawe tarajia jeraha

Kwa maana

 

Unakumbuka?

 

Unakumbuka eee…..

Kipindi kile unadate nae…..

Unakumbuka eee…

Kipindi kile umeziteka hisia zake…

Ukamfanya apoteze hamu ya kula kisa wewe…

Usingizi asiupate kisa wewe….

Unakumbuka lakini…..

Kipindi kile mwenzio alipoyatoa maisha yake kwa ajili yako….

yeye alipojinyima ili wewe upate…

Unakumbuka…..

Lakini leo hauko naye tena…..

 

Nikukumbushe kitu….

Unakumbuka kipindi kile mlipokuwa mkitoka out

Mkienda garden

Mara ufukweni….

Mkiwa barabarani..

 mlifurahi na kucheka sana….

 

Mlifikia hatua mkawa kama machizi vile machoni mwa watu.

Ila mlipendeza sana.

Unazikumbuka kweli hizo moment…..

Masikini….

 leo hauko naye tena.

Mhhh aaaaaaa…….

 

Hivi unakumbuka kipindi kile mnachati usiku kucha ….

eeee ….. eti mnaongea na simu masaa 10 mhhh….

Mara utasikia kata weweeee bhanaaa

Mhh mhhm takiii kata wewe….

Ka watoto vile

Ha ha ha ha ha ha ha

Aiseee…

Vp unakumbuka kweli hizo moment…….

Mhhhh pol…e naona leo hauko naye tena mtu huyo.

Nani kama yeye…

Alokupa penzi kiasi cha kuchanganyikiwa huku mkiahidiana mengi…

Lakini leo hauko nae tena….

Naona kuna wakati unatamani ukutane naye….

Lakini ndo haiwezekani tena……

Mhhhh au yupo kwenye ndoa yake….?

Lakini hata kama atakuwa single

Bado hataweza kurudiana na wewe…

Unajuwa kwa nini……

Kumbuka vizuriii….

Mhh unakumbuka vizuri…

 

Maskini….

Zile moment ulipokuwa ukimsubilisha nje akipigwa na baridi kali na husitokee….

Zile moment ulipokuwa ukimchatisha huku ukifanya ufuska.

Umesahau….

Zile moment… alipokufuma na danga mkipeana vitu….

usitake kuniambia eti umesahau kila kitu.

Hata kipindi kile uliposahaui viatu

baada ya kukimbizwa na watu

ukitumia mali ya mtu

hukumbuki tu….

Aaa basi wewe mkorofi ….

Lakini pouwa so kesi….

 

Kiburi

Dharau

Masimango…

Na hata ukazidisha uongo…

Lakini hatimaye leo hauko nae tena.

Naelewa utakuwa umemiss sana zile moment….

 

Ukicheza na kuimba mbele yake…..

Tena kwa furaha na shangwe

Daaa aisee pole sana…

Najuwa kwa sasa atakuwa na wake ampendae….

Vp wewe mahusiano yako kwa sasa.

Je, yameimarika…

 Au ndo kwanza unaangaika na kujenga ukuta.

Hahahaha……..

Pole sana…..

mnakuwa wazuri katika kuwaumiza wengine

mnasahau kuwa maumivu ni yale yale

Na ikitokea mmeumizwa  mnajitia kuumia sana.

Hivi mnajikuta kina nani nyie….

Ukizitaka raha kwa  kumsababishia karaha kwa aliye na furaha

Basi nawe tarajia jeraha

Kwa maana

tamaa ni sawa na donda lilotunga usaha

 hivyo chunga usilete mzaha

  likaja kukuletea balaa

Maoni

Mashairi Pendwa Zaidi

Ushairi : Maumivu

Shairi: Kipenzi changu

Shairi: Moyo Wa Subira